WELCOME HMC

2 / 3

Monday, 8 May 2017

Picha za wanafunzi 32 waliofafiki katikia ajali Arusha




Juzi wanafunzi 32 wa darasa la saba, walimu 2 na dereva wa gari la shule ya msingi iitwayo Lucky Vicent ya Arusha walifariki dunia majira ya saa 3 asubuhi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha.

No comments:

Post a Comment